Tunamaliza mwezi wa kwanza 2012



JINSI YA KUTUNZA NYWELE ZA WATOTO.mfano:-picha ya mtoto hapo juu nywele zake zime kuwa vizuri
kutokana na kutunzwa vizuri ; najua ni vigumu mtoto kutunza nywele zake ila ni wajibu kama mzazi mlezi, unahakikisha ,
unaosha nywele za mtoto kila baada ya one wiki , ama umechelewa sana two wiki iliziote vizuri kabisa .
hata mtoto mwenyewe ataisikia vizuri na kuwa nafuraha .
all u need ni shanuo ,mafuta ya watoto ya nywele mazuri hata , ya nazi, oliver oil , hair dryer
HIVI VYOTE NDIO UNAITAJI
 



No comments: